Hongera Mhe. Faustine Ndugulile kwa nafasi uliyopata kutumikia Bara la Afrika
Hongera Mhe. Faustine Ndugulile kwa nafasi uliyopata kutumikia Bara la Afrika katika nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inajivunia mafanikio hayo kwa Taifa letu kupata nafasi hiyo.
Mhe Omari Kipanga akiwa Bungeni
Mhe Omari Kipanga Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia akiwa Bunge, Jijini Dodoma Septemba 03,2024

NYONGEZA YA MUDA WA KUTUMA MAOMBI YA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA YA UALIMU ELIMU YA AWALI, MSINGI NA ELIMU MAALUM KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025
1. UTANGULIZI
Viongozi wa Daruso wa sasa na Waliopita Wakutana
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema mageuzi ya Elimu yanayotekelezwa Nchini yanalenga kupata wahitimu mahiri wenye ujuzi ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za ujenzi wa uchumi.
Waziri Mkenda ameeleza hayo Agosti 30, 2024 Mkoani Pwani katika Mkutano wa waliokuwa Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) akimwakilisha Rais Mstaafuu wa Tanzania DKt. Jakaya Kikwete.
WADAU WA MAENDELEO WAIPA KONGOLE WIZARA YA ELIMU KUSHIRIKISHA WADAU MPANGO WA MAENDELEO YA ELIMU
Umahiri na Ujuzi ni Nyenzo Inayochagiza Maendeleo katika Sekta za Uzalishaji
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ni muhimu kuwekeza katika elimu na kuongeza ujuzi wa wafanyakazi ili kuinua kiwango cha rasilimali watu katika kuchochea maendeleo kiuchumi.
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UOMBAJI WA MASOMO CHUO KIKUU NCHINI MISRI KWA NJIA YA MTANDAO KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025
1.0 UTANGULIZI
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inapenda kuujulisha umma wa Watanzania kuwa mlango wa kuombea masomo nchini Misri kwa mwaka 2024/2025 ngazi ya Chuo Kikuu (Shahada ya Kwanza na Shahada ya Pili) kwa wanafunzi wa kitanzania kupitia mtandao umefunguliwa.
2.0 UTARATIBU WA KUOMBA UFADHILI
Prof. Mushi Asisitiza Weledi katika Utoaji wa Habari
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Daniel Mushi amesema vyombo vya Habari vina mchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa kiuchumi, hivyo ni muhimu wadau katika tasnia hiyo kufanya kazi kwa weledi.

