Kibaha Mambo ni Moto
Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo ikiongozwa na mwenyekiti wake Mh. Husna Juma Sekiboko imeendelea na ukaguzi wa miradi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inayotekelezwa nchini ambapo imeshuhudia ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Shimbo Mkuza ambayo imejengwa kupitia mradi wa SEQUIP.



