Ofisi ya Rais TAMISEMI itaendelea kusimamia zoezi la ubainishaji na kuhakikisha Watoto wenye mahitaji maalum wanaandikishwa shule

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu) Atupele Mwambene amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI itaendelea kusimamia zoezi la ubainishaji na kuhakikisha Watoto wenye mahitaji maalum wanaandikishwa shule na kupatiwa afua stahiki kulingana na mahitaji yao.

Swahili

Dkt. Wilson Charles Mahera Mgeni Rasmi katika Kilele cha Maadhimisho ya Elimu Jumuishi

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Wilson Charles Mahera Mgeni Rasmi katika Kilele cha Maadhimisho ya Elimu Jumuishi akimwakilisha Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.



Maadhimisho haya yanasherekewa katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Patandi Maalam jijini Arusha

Swahili

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amewasili Mkoani Njombe tayari kuanza ziara ya kikazi

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amewasili Mkoani Njombe tayari kuanza ziara ya kikazi katika Wilaya zote mkoani humo.



Lengo la ziara hiyo ni kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.na kuzugumza na Wananachi

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS