SERIKALI YAWEKEZA BILIONI 4 KUBORESHA TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA
WAZIRI MKENDA AZUNGUMZA NA MAKAMU WA RAIS BENKI YA DUNIA
#Benki hiyo kuendelea kushirikiana na serikali kutekeleza mageuzi ya elimu
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda Novemba 12, 2024 akiwa jijini Kigali nchini Rwanda amekutana na kuzungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayesimamia Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini, Bi Victoria Kwakwa, pamoja na mambo mengine Mkenda ameishukuru Benki hiyo kwa namna inavyoshirikiana na Serikali katika kuboresha sekta ya elimu kwa ujumla wake.
THE MAURITIUS – AFRICA SCHOLARSHIP SCHEME 2025
1. Call for Application
The Ministry of Education, Science and Technology is pleased to inform the general public that the Government of Mauritius is offering scholarships to Tanzanian students for Undergraduate, Masters and Doctoral programmes tenable in various Universities in Mauritius for the academic year 2025/2026.
THE MAURITIUS – AFRICA SCHOLARSHIP SCHEME 2025
Prof Mkenda: atoa wito Wahasibu kuandika Vitabu vya Biashara na Hesabu kwa ajili ya Shule
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa Bodi ya Waasibu na Wakaguzi wa Heasabu (NBAA) kuanza kuandika vitabu.
WyEST, Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wizara ya Maendeleo Jamii wamekutana jijini Dar es Salaam kuweka mikakati ya pamoja ya kutangaza shughuli zinazofanywa na Mradi wa ESP
Timu ya Maafisa Mawasiliano wa Serikali kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wizara ya Maendeleo Jamii , Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Ofisi ya Rais -TAMISEMI wamekutana mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kuweka mikakati ya pamoja ya kutangaza shughuli zinazofanywa na Serikali kupitia Mradi wa Uwezeshaji kipitia Ujuzi ,(ESP)
Majadiliano ya Kina ya namna ya kutaarufu umma juu ya Mradi wa Uwezeshaji Kupitia Ujuzi (ESP)
Majadiliano ya Kina ya namna ya kutaarufu umma juu ya shughuli zinazotekelezwa na Wizara kupitia Mradi wa Uwezeshaji Kupitia Ujuzi (ESP)
SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU HUCHOCHEA MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KIJAMII
Naibu Katibu Mkuu Elimu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt Charles Mahera amesema Serikali katika Mwaka 2023/2024 na 2024/2025 imetoa takribani Shilingi bilioni 6 kwa ajili ya mafunzo endelevu kazini kwa walimu kazini wa masomo ya Sayansi na Hisabati kwa nia ya kuongeza ujuzi na umahiri kwa Walimu wa masomo hayo.


