Viongozi wa Wizara ya Elimu wakifuatilia kwa mjadala wa wabunge juu ya hotuba ya Makadirio na Matumizi ya Wizara ya elimu

Viongozi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na taasisi zake na wadau mbalimbali wa elimu wakifuatilia kwa mjadala wa wabunge juu ya hotuba ya Makadirio na Matumizi ya Wizara, leo tarehe 13 Aprili 2025, jijini Dodoma

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS