MAANDALIZI YA NYONGEZA YA UFADHILI WA MRADI WA GPE-TSP YAZINGATIA MAZINGIRA JUMUISHI NA MAFUNZO ENDELEVU KWA WALIMU

Tanzania kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatekekeza mradi wa GPE-TSP unaolenga.kuboresha mazingira ya walimu, kutoa mafunzo endelevu kazini kwa walimu  pamoja na usimamizi bora wa elimu una thamani ya Sh. Bilioni 226.54.

Swahili

Zaidi ya Asilimia 70 ya fedha za Mradi wa HEET kujenga Miundombinu ya Elimu ya Juu

Zaidi ya asilimia 70 ya fedha za Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi ya Fedha (HEET) zimeelekezwa katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya elimu ya juu nchini. 

Akizungumza kwa njia ya mtandao Aprili 2, 2025 katika kikao cha pamoja kati ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na wajumbe kutoka Benki ya Dunia, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Carolyne Nombo amesema kuwa mpaka sasa mikataba ya ujenzi yenye thamani ya dola za Kimarekani zaidi ya milioni 333 imeingiwa na kazi inaendelea.

Swahili

CALL FOR APPLICATION CHINGUITT PRIZE 2025 IN THE ISLAMIC REPUBLIC OF MAURITANIA

1.   Call for Application

The General Public is hereby informed that the Islamic Republic of Mauritania is launching the call for applications for the Chinguitt Prize 2025. The Prize rewards each year research works in the fields of Islamic Studies, Science and Technology as well as Literature and Arts. Eligible Tanzanian candidates are strongly encourage to submit their applications for consideration.

2.    Notable Dates 2025:                     

Swahili

PARTIAL SCHOLARSHIP TENABLE IN VIGNAN FOUNDATON FOR SCIENCE, TECHNOLOGY AND RESEARCH (VFSTR), INDIA FOR THE ACADEMIC YEAR 2025/26

1.    Call for Application

Vignan’s Foundation for Science, Technology and Research (VFSTR), India after signing MoU with the Ministry of Education Science and Technology has invited scholarship application for meritorious Tanzanian Students (self-finance or sponsored) to pursue Bachelor or Masters for the academic year 2025/2026.

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS