SERIKALI YAWEKEZA BILIONI 16 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA CHUO KIKUU MBEYA
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inaendelea na ujenzi wa miundombinu mipya katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST). Uwepo wa majengo haya Chuo kitakuwa na uwezo wa kudahili wanafunzi 30,000 kutoka 13,000 ilivyo sasa.




