Mhe. William Lukuvi aridhishwa na Ubora na Mazingira ya Jengo la Wizara ya Elimu Mtumba Jijini Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. William Lukuvi Julai 23, 2025 Jijini Dodoma ameridhishwa na ubora na mazingira ya jengo la Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia  katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.



Amesema hayo alipotembelea Wizara akiwa katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa majengo ya wizara na taasisi mbalimbali.

Swahili

NAIBU KATIBU MKUU DKT. HUSSEIN OMAR ATOA WITO KWA TSLB KUIMARISHA HUDUMA ZA MAKTABA KWA NJIA ZA KIDIJITALI

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar, ametoa wito kwa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TSLB) kuendelea kuhamasisha utamaduni wa kusoma vitabu miongoni mwa wananchi wa rika na makundi mbalimbali kama sehemu ya kuendeleza elimu jumuishi.

Swahili

FURSA ZA MASOMO ‘SAMIA SCHOLARSHIP’ KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026

UTANGULIZI:

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatangaza Programu ya Ufadhili iitwayo ‘SAMIA SCHOLASHIPU’ kwa masomo ya shahada ya awali kwa wanafunzi 1,050 waliopata ufaulu wa juu katika mitihani ya taifa ya kidatocha sita inayoendeshwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) katika tahasusi za sayansi (PCB, PCM, CBG, PGM, CBA, PMC na CBN).

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS