MIUNDOMBINU YA BOOST YACHAGIZA UANDIKISHAJI ELIMU YA AWALI NJOMBE
Mradi wa Kuimarisha na Kuboresha Elimu ya Awali na Msingi (BOOST) jnaoyekelezwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na OR TAMISEMI umeongeza fursa za uandikishaji wa wanafunzi wa elimu ya awali, kutokanaa na uboreshaji na ujenzi wa miundombinu mipya ya kujifunzia.



