Mafanikio ya mhe. SSH katika uongozi kwa miaka miwili
Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa kulihutubia Bunge aliweka bayana dhamira ya serikali yake ya kufanya mapitio ya Sera ya Elimu ya mwaka 2014 na kufanya mabadiliko ya Mitaala iliyopo ili ielekezwe kwenye kutoa elimu ujuzi kulingana na mahitaji ya soko kitaifa, kikanda na kimataifa.
Ndani ya miaka miwili ya uongozi wa Rais Samia kumeshuhudiwa maboresho makubwa katika sekta ya elimu na utekelezaji wa kazi kulingana azma yake ya kuhakikisha elimu inakuwa ni kichocheo kikubwa cha maendeleo kwa kutoa wahitimu wenye ujuzi na stadi.
Headericon1
Education in 2022 and the way forward
Ministry of Education Customer Service Launch
This is a brief about the news , like first paragraph sentence but it wont be shown on the news pahe, it will be used on news listing pages or sections

