Government Email
English
Na WyEST
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imejipambanua kuendelea kushirikiana na Vyombo vya habari katika kutangaza kazi inazofanya pamoja na matokeo ya utekelezaji wa miradi inayosimamiwa na Wizara hiyo.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda leo Machi 23, 2023 amekutana na Mkurugenzi wa Mkazi wa Benki ya Dunia Nathan Belete Jijini Dodoma na kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu sekta ya elimu.