Prof. Adolf Mkenda Agosti 16, 2023 jijini Dodoma amekutana na Mwakalishi Mkazi wa UNICEF Tanzania
Tanzania Commonwealth Scholarship Advert 2024
Tanzania Commonwealth Scholarship Advert 2024
Dkt. Rwezimula ahimiza matumizi ya TEHAMA kwenye mafunzo ya Ufundi Stadi
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Franklin Rwezimula amehimiza matumizi ya TEHAMA kwenye mafunzo ya Llfundi Standi ili kuendana na kasi ya ukuaji wa Teknolojia na mahitaji ya soko kwa wahitimu wa mafunzo hayo.

Ametoa rai hiyo wakati wa Ziara yake mkoani Kilimanjaro alipotembelea Chuo cha Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA Moshi na kujionea wanafunzi Wakiendelea na mafunzo kwa vitendo.
Prof. Mkenda akutana na Mwakalishi Mkazi wa UNICEF Tanzania.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda Agosti 16, 2023 jijini Dodoma
Elimu ya Juu
Elimu ya Ufundi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Maonesho ya Nanenane Jijini Mbeya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mhandisi wa Mtaani (Street Engineer) Adam Zacharia Kinyekile kutoka Tunduma Mkoani Songwe aliebuni na kutengeneza mashine hiyo ya kuvuta maji, kupukuchua mahindi, kusaga nafaka pamoja na kubeba Mizigo na ubunifu wake kuendelezwa na COSTECH katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nane Nane yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya tarehe 8 Agosti, 2023.
Mkenda Asisitiza Uwekezaji katika Sayansi na Teknolojia
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekitaka Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kuwekeza kwenye Sayansi na Teknolojia ili kuchangia katika kuinuia uchumi..
Prof. Mkenda ametoa rai hiyo Agosti 7, 2023 wakati akizungumza na Viongozi na Wafanyakazi wa Chuo hicho baada ya kutembelea na kujionea Maendeleo ya miradi mbalimbali inayotekelezwa na MUST.

