Haya ndiyo mambo makubwa yatakayotekelzwa na wizara ya elimu katika mwaka wa fedha wa 2022/2023
Literacy and Numeracy Education Support (LANES)
ICT Training Programme
INSET Training Programme
Secondary Education Development Programme (SEDP)
Malipo kwa kutumia mfumo wa kieletroniki (Government e-Payment Gateway)
Wizara, imeanza kutumia mfumo wa kielektroniki wa kukusanya mapato ya Serikali kwenye makusanyo yake yote ya mapato kwa Vyuo vya Ualimu vya Serikali, Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi na Kanda za Uthibiti Ubora wa Shule. Hivyo mteja atapaswa kufika au kuwasiliana na kituo husika anachotaka kufanya malipo ili kupata namba ya utambulisho wa malipo husika (Payment Control Number) kabla ya kufanya malipo
1. Malipo yanaweza kufanywa kwa njia ya kibenki kwa kufuata hatua zifuatazo;
Kuanzisha na kusajili shule au mwalimu
TARATIBU ZA KUANZISHA NA KUSAJILI SHULE
Ili kuanzisha na kusajili Shule yenye ubora unaostahili wadau hawana budi kufuata hatua mbalimbali kama zilivyoainishwa kwa kina katika “Mwongozo wa Usajili wa Shule wa mwaka 1982”. Kwa kifupi hatua hizo ni kama.
[accordion] [acc_item title="Hatua ya kwanza: Kibali cha Kujenga Shule"]
Mwenye nia na uwezo wa kuanzisha Shule atume maombi ya kutaka kujenga shule kwa maandishi kwa Afisa Elimu
Uhamisho wa mwanafunzi kwa shule za msingi
Taratibu za uhamisho wa mwanafunzi wa elimu ya msingi anayehamia nje ya nchi"]
a.) Mzazi/ Mlezi aandike barua kwenda katibu mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi (WEST) akifafanua ombi lake kwa kutoa sababu za msingi kuhusu uhamisho huo. Barua hiyo iwe ni ya kupitia kwa mwalimu mkuu, Afisa Elimu wilaya na Afisa Elimu wa mkoa husika.
b). Vitambulisho vya barua viwe:-

