Malipo kwa kutumia mfumo wa kieletroniki (Government e-Payment Gateway)

Wizara, imeanza kutumia mfumo wa kielektroniki wa kukusanya mapato ya Serikali kwenye makusanyo yake yote ya mapato kwa Vyuo vya Ualimu vya Serikali, Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi na Kanda za Uthibiti Ubora wa Shule. Hivyo mteja atapaswa kufika au kuwasiliana na kituo husika anachotaka kufanya malipo ili kupata namba ya utambulisho wa malipo husika (Payment Control Number) kabla ya kufanya malipo

1. Malipo yanaweza kufanywa kwa njia ya kibenki kwa kufuata hatua zifuatazo;

Swahili

Kuanzisha na kusajili shule au mwalimu

TARATIBU ZA KUANZISHA NA KUSAJILI SHULE

Ili kuanzisha na kusajili Shule yenye ubora unaostahili wadau hawana budi kufuata hatua mbalimbali kama zilivyoainishwa kwa kina katika “Mwongozo wa Usajili wa Shule wa mwaka 1982”.  Kwa kifupi hatua hizo ni kama.

[accordion] [acc_item title="Hatua ya kwanza:  Kibali cha  Kujenga Shule"]

Mwenye nia na uwezo wa kuanzisha Shule atume maombi ya kutaka kujenga shule kwa maandishi kwa Afisa Elimu

Swahili

Uhamisho wa mwanafunzi kwa shule za msingi

Taratibu za uhamisho wa mwanafunzi wa elimu ya msingi anayehamia nje ya nchi"]

a.) Mzazi/ Mlezi aandike barua kwenda katibu mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi (WEST) akifafanua ombi lake kwa kutoa sababu za msingi kuhusu uhamisho huo. Barua hiyo iwe ni ya kupitia kwa mwalimu mkuu, Afisa Elimu wilaya na Afisa Elimu wa mkoa husika.

b). Vitambulisho vya barua viwe:-

Swahili

Pages

Subscribe to Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia RSS