NECTA Yakabidhi Vishkwambi 6,000
Kaimu Katibu Mkuu Wizra y Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe amekabidhi Vishkwambi 6,000 kwa Baraza la Mitihani Tanzania NECTA
Makabidhiano hayo yamefanyika julai 20, Jijini Dodoma.
Mdoe amesema huu ni mwendelezo wa utekekezaji wa mpango wa ugawaji vishkwambi kwa walimu na wakufunzi nchini ambavyo vilinunuliwa na Serikali na kutumika kwa ajili ya Sensa na hatimae vigawiwe kwa walimu, wakufunzi, Wathibiti Ubora na Maafisa Elimu.


