Mradi wa Programu ya Kutekeleza Elimu kwa Matokeo (EP4R)
Swahili
Wito umetolewa kwa vyuo vikuu nchini kuendeleza wanataaluma wake ili kuviwezesha kuwa na wahadhiri wa kutosha watakaokidhi mahitaji hasa wakati huu ambao zinakwenda kujengwa kampasi za vyuo vikuu katika mikoa mbalimbali.