Majukumu Makuu ya Wizara

[accordion] [acc_item title="Majukumu ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ni:-"]

  • kutunga na Kutekeleza Sera za Elimu, Sayansi, Utafiti, Huduma za Maktaba, Sayansi, Teknolojia, Ubunifu na Uendelezaji wa Mafunzo ya Ufundi;
  • kuendeleza Elimumsingi kwa Kutoa Ithibati ya Mafunzo ya Ualimu na Maendeleo ya Kitaalamu ya Walimu;
  • kubainisha Vipaji na Kuviendeleza;
  • kusimamia Uendelezaji wa Mafunzo katika Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi;
  • kusimamia Mfumo wa Tuzo wa Taifa;
  • kuainisha Mahitaji ya Nchi katika Ujuzi na Kuuendeleza;
  • kuweka Viwango vya Taaluma ya Ualimu;
  • kusimamia Ithibati na Uthibiti wa Shule;
  • kusimamia Huduma za Machapisho ya Kielimu;
  • kutegemeza/Kuimarisha Utumiaji wa Sayansi, Uhandisi, Teknolojia na Hisabati;
  • kuendeleza Wataalamu wa ndani katika Sayansi, Teknolojia na Ubunifu;
  • utafiti katika Sayansi na Teknolojia;
  • uendelezaji wa Rasilimaliwatu na Uongezaji Tija ya Watumishi walio chini ya Wizara; na
  • kuratibu Shughuli za Idara, Mashirika, Wakala, Programu na Miradi iliyo chini ya Wizara.

[/acc_item] [/accordion]

Imesomwa 35,059

Contact

  • Name:    Permanent Secretary
  • Address: Government City
  • Mtumba Area - Afya Street
  •               P.O.Box 10
  •               40479 Dodoma
  • Tel:        +255 26 216 0270               
  •                +255 737 962 965
  • Email:    info@moe.go.tz
  • Zonal SQA Offices Contacts
Top