TANZANIA, MAREKANI WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Published on Tuesday 07 June, 2022 04:54:45
Waziri Wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Dkt. Donald Wright pamoja na ujumbe wake mara baada ya kumaliza kikao cha pamoja kilichofanyika ofisi za Wizara jijini Dodoma
Read
664
times