NAFASI ZA MASOMO NCHINI PAKISTAN

Published on Sunday 13 December, 2015 21:00:00

Wizara ya Elimu na Mafunzo Ya Ufundi inawatangazia watanzania wenye sifa za kitaaluma na hamu ya kusoma

kutuma maombi ya skolashipu zilizotolewa na serikali ya pakistan za shahada ya kwanza katika chuo kikuu cha Comsats Institute of Information Technology (CIIT) cha nchini pakistan.
Maelezo zaidi kuhusu namna ya kujiunga, tarehe ya kuanza masomo, fomu za maombi na ufadhili tafadhali bofya hapa
Ni imani yetu kuwa wale wenye sifa watatuma maombi yao mapema

Imetolewa na

Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
S.L.P. 9121,
7 Mtaa wa Magogoni,
11479 DAR ES SALAAM.

Read 14279 times

Contact

  • Name:    Permanent Secretary
  • Address: Government City
  • Mtumba Area - Afya Street
  •               P.O.Box 10
  •               40479 Dodoma
  • Tel:        +255 26 216 0270               
  •                +255 737 962 965
  • Email:    info@moe.go.tz
  • Zonal SQA Offices Contacts
Top