MWONGOZO WA VIWANGO NA UENDESHAJI ELIMU YA AWALI MBIONI KUTOLEWA
Published on Tuesday 18 January, 2022 23:46:20
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe akiangalia Kitabu alichokikuta katika darasa la mfano la elimu ya awali katika shule ya msingj Mtemi Mazengo iliyopo Jijini Dodoma wakati alipofika shuleni hapo kwenye kikao cha wadau wa elimu ya awali
Read
683
times