KUSOGEZWA MBELE KWA KONGAMANO LA ELIMU

Published on Thursday 09 June, 2022 10:18:50

Kutokana na mwitikio Mkubwa wa wadau toka ndani na nje ya Nchi wa kushiriki Kongamano la Elimu, Wizara imesogeza mbele tarehe ya kufanyika kongamano hilo ili kutoa nafasi kwa wadau zaidi kushiriki na kuendelea kutoa maoni .

Tarehe mpya ya kongamano itatangazwa hivi karibuni. Tunaendelea kukaribisha maoni  na kusajili kushikiri  kongamano hili lenye lengo ya kujadili maboresho ya Sera ya Elimu ya mwaka 2014 na mabadiliko ya  Mitaala yetu. 

Wizara inaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza  nia ni kupanua zaidi wigo wa ushiriki na upokeaji maoni.

Endelea kutuma moni kupitia maoniyawadau@tie.go.tz au info@moe.go.tz au tupigie kwa Namba 0735041169 tutakusikiliza.


#TunaboreshaElimuYetu

Read 1033 times

Contact

  • Name:    Permanent Secretary
  • Address: Government City
  • Mtumba Area - Afya Street
  •               P.O.Box 10
  •               40479 Dodoma
  • Tel:        +255 26 216 0270               
  •                +255 737 962 965
  • Email:    info@moe.go.tz
  • Zonal SQA Offices Contacts
Top