Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi William Lohay na Azaria Chongeri ambao ni watumishi kutoka DIT kampasi ya Mwanza wanaosoma kwenye Taasisi inayojishughulisha na Teknolojia na ubunifu wa mazao yatokanayo na ngozi ya Chuo Kikuu cha Northampton nchini Uingereza