TANZANIA, MAREKANI WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Published on Tuesday 07 June, 2022 05:01:13
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda (Mb) akizungumza wakati wa kikao cha pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Dkt. Donald Wright alipotembelea ofisi za Wizara jijini Dodoma
Read
143
times