TAARIFA KWA UMMA - TUZO KWA WANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE MWAKA 2014 KATIKA MASOMO YA SAYANSI

Published on Tuesday 11 October, 2016 16:09:27

Katika sherehe za maadhimisho ya Wiki ya Elimu yaliyofanyika mkoani Dodoma mwaka 2015 , Mhe. Balozi wa Jamhuri ya watu wa china aliahidi kutoa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri zaidi katika masomo ya Sayansi katika Mtihani wa kumaliza Kidato cha Nne mwaka

2014. Wanafunzi sita (6) walipatiwa zawadi hizo kwa niaba ya wenzao.

 

Kwa sasa zawadi hizo zimeshatumwa katika shule ambako wanafunzi hao walisoma. Kwa tangazo hili, wanafunzi hao wanatakiwa kufuatilia zawadi zao kwa wakuu wa shule walizosoma na kuhitimu kidato cha Nne Mwaka 2014. Majina ya wanafunzi hao ni kama ifuatavyo:

{jd_file file==304}

Read 17093 times

Contact

  • Name:    Permanent Secretary
  • Address: Government City
  • Mtumba Area - Afya Street
  •               P.O.Box 10
  •               40479 Dodoma
  • Tel:        +255 26 216 0270               
  •                +255 737 962 965
  • Email:    info@moe.go.tz
  • Zonal SQA Offices Contacts
Top