WAAZIRI WA FINLAND AMTEMBELEA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

Published on Wednesday 01 February, 2023 19:05:31

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akiwa katika kikao cha pamoja na Waziri wa Finland anaeshughulikia masuala ya Uchumi Mhe. Mika  Lintila wakati alipomtembelea ofisi kwake jijini Dodoma kuzungumzia masuala mbalimbali ya elimu.

Read 427 times

Contact

  • Name:    Permanent Secretary
  • Address: Government City
  • Mtumba Area - Afya Street
  •               P.O.Box 10
  •               40479 Dodoma
  • Tel:        +255 26 216 0270               
  •                +255 737 962 965
  • Email:    info@moe.go.tz
  • Zonal SQA Offices Contacts
Top