TANZANIA, MAREKANI WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Published on Tuesday 07 June, 2022 05:05:25
Waziri Wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda (Mb) akimpa zawadi Balozi wa Marekani nchini Tanzania Dkt. Donald Wright mara baada ya kumaliza kikao cha pamoja kilichofanyika ofisi za Wizara jijini Dodoma
Read
144
times