Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omary Kipanga (kushoto) akizungumza na Mafundi na Vibarua wanaotekeleza mradi wa ujenzi wa majengo mapya matano katika Chuo cha Ualimu Mpwapwa.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omary Kipanga (kushoto) akizungumza na Mafundi na Vibarua wanaotekeleza mradi wa ujenzi wa majengo mapya matano katika Chuo cha Ualimu Mpwapwa.