Ministry of Education and Vocational Training

Details for AJIRA MBADALA MKINGA &NJOMBE FINAL

PropertyValue
Name:AJIRA MBADALA MKINGA &NJOMBE FINAL
Description:ORODHA YA WALIMU  WA AJIRA MBADALA  WALIOPANGIWA HALMASHAURI YA MKINGA MKOANI TANGA NA NJOMBE(M) IRINGA
Kwa waombaji wote walioomba nafasi za kazi / ajira ya Ualimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ambao majina yao yametangazwa katika tovuti za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Wanatakiwa kuripoti tarehe 7/5/2012kwenye Ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri husika kwa ajili ya kupangiwa Vituo vya kazi. Kila mwalimu anatakiwa kwenda kwenye Halmashauri alikopangwa, kwa sababu HAKUNA MABADILIKO YATAKAYOFANYWA. Mwalimu anatakiwa kwenda na VYETI vyake halisi, ambaye hataripoti ifikapo tarehe 21/5/2012 atapoteza nafasi hiyo
Filename:AJIRA MBADALA MKINGA &NJOMBE FINAL.pdf
Filesize: 57.57 kB
Filetype:pdf (Mime Type: application/pdf)
Creator:gponera
Created On: 05/06/2012 14:17
Viewers:Everybody
Maintained by:Editor
Hits:3884 Hits
Last updated on: 05/06/2012 14:26
Homepage:
You are here  : Home AJIRA MBADALA MKINGA &NJOMBE FINAL