Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako, akipanda mti wa kumbukumbu katika Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi cha Wilaya ya Karagwe wakati alipofika Chuoni hapo kushuhudia makabidhiano ya Chuo hicho kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwenda VETA.
Monday, 11 January 2021 04:50