Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako, Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigadia General Marco Gaguti na Mkurugenzi Mkuu wa VETA Dkt. Pancras Bujulu wakikagua uimara wa moja ya jengo lililojengwa katika Chuo cha Ufundi Stadi na Huduma cha Mkoa wa Kagera wakati wa ziara mkoani humo.
Saturday, 09 January 2021 22:22