EDUCATION DEPARTMENTS --chief education officer


>>introduction |>> Registration of schools and teachers |>> special education| >>Adult and Non-formal Education |>>Education by Radio| >>Environmental Education >>Guidance and counseling HIV Aids

Guidance and Counseling and HIV Aids

MALEZI NA USHAURI NASAHA NA MASUALA YA JINSIA.

  • Sehemu ya malezi na ushauri inaratibu huduma za unasihi katika shule na vyuo vya ualimu.
  • Tanzania ni mjumbe wa Bodi ya Usimamizi wa Kituo cha Malezi na Unasihi cha nchi za SADC inayoundwa ya mawaziri wa Elimu wa nchi hizo.
  • Wawezeshaji 10 wamefuzu katika kituo cha Malawi kuanzia mwaka 1996
  • Wanasihi 120 kati yao 70 wanawake na 50 wanaume wamefundishwa na wawezeshaji waliohitimu Malawi .
  • Sehemu ya Malezi na Ushauri nasaha imekuwa ikishirikiana na mashirika mbalimbali yanayojihusisha na unasihi shuleni. Mashirika hayo ni kama vile:-
    • UNICEF
    • UNESCO
    • TANESA
    • GT2 – Mbeya
    • PASHA – Tanga
  • Wizara imeendesha mafunzo ya wawezeshaji wa mafunzo ya unasihi ya wawezeshaji wa mafunzo ya unasihi kikanda – kila kanda wawezeshaji wanne. Hawa wanatarajiwa kuendesha mafunzo ya wanasihi wa shule.
  • Wizara imetoa sekula na. 11 ya Mei 2002 inayohusu uanzishaji wa Kamati za Unasihi na UKIMWI katika shule na vyuo.
  • Wizara imetayarisha Mwongozo wa uanzishaji na uendeshaji wa huduma za unasihi katika shule na vyuo.

JINSIA

  • Wakurugenzi wote walihamasishwa kuhusu masula ya jinsia
  • Wizara imetayarisha mwongozo wa shule rafiki kijinsia
  • Wakaguzi wakuu wa Kanda na Maafisa Elimu wa Kanda wamepatiwa mafunzo ya jinsia.

Back top

   
Tanzania Government Website | National Examination Council | Tanzania Online | Search Engines |
Ministry of Education and Vocation Training © 2005 All rights reserved